Home » 2016 June
|


Staa wa Bongo Fleva ambaye pia ni mwalimu wa dance, Msami Giovanileo June 11, 2016 anazimiliki headlines za kufanyiwa suprise ya nguvu na uongozi wake baada ya kupewa zawadi ya gari mpya.
MLALAMIKIWA wa kwanza katika kesi ya uchaguzi Jimbo la Longido mkoa wa Arusha, Mbunge wa Longido, Onesmo ole Nangole (Chadema), ameieleza Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kuwa anajua kusoma na kuandika Kiswahili, lakini hajui kusoma na kuandika Kiingereza.
Mchezaji, mshambuliaji wa klabu ya soka ya Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi amethibitisha kwamba ni moto wa kuotea mbali baada ya kuweza kufunga magoli 3 katika mechi ambayo aliingia kipindi cha pili na kuisaidia timu yake ya taifa kushinda magoli 5-0 dhidi ya taifa la panama.

Hii ni orodha ya nchi ambazo raia wa mataifa ya ulaya wanaamini ndizo zenye maisha bora zaidi. Orodha hii inaonyesha kila raia wa taifa fulani na nchi wanayoamini ni bora. Katika orodha hii Ugiriki ndiyo taifa ambalo linaaminiwa kuwa na maisha ovyo kabisa kwa ulaya.

