Home » BURUDANI


Msanii wa bongo fleva ambaye anafanya vizuri kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa kwenye muziki, ametoa siri ambayo inamfanya awe mstari wa mbele kumsaidia msanii Chid Benz, alipopata matatizo.
 
Category: BURUDANI | Views: 298 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-08 | Comments (0)



Sakata la wanandugu wawili wanao unda kundi la P Square kutoka nchini Nigeria kuto kuelewa limeendelea kukua baada ya mmoja wa wanamuziki hao kumshutumu mwenzie kwa kuandaa tamasha na kutumia jina lake na video inayoonyesha ushiriki wake kwenye tamasha nchini Congo kitu ambacho sio kweli.
Category: BURUDANI | Views: 311 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-10 | Comments (0)


Raisi wa Marekani Barack Obama ameonyesha kuwa yeye si tu kiongozi wa taifa hilo kubwa na lenye nguvu dunia ila pia ni kiongozi mzuri katika familia yake mara baada ya kumwimbia wimbo wa Happy Barthday mwanaye aitwae Malia huku akishirikiana na wana muziki maarufu Kendrick Lamar na Janelle Monae.
Category: BURUDANI | Views: 298 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-05 | Comments (0)

Staa wa Bongo Fleva ambaye pia ni mwalimu wa dance, Msami Giovanileo June 11, 2016 anazimiliki headlines za kufanyiwa suprise ya nguvu na uongozi wake baada ya kupewa zawadi ya gari mpya.

Ni gari aina ya Toyota Ipsum ambayo imenunuliwa kwa kiasi cha shilingi milioni 15 baada ya single yake iitwayo Mabawa kufanya vizuri katika vituo mbalimbali.
Category: BURUDANI | Views: 360 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-11 | Comments (0)

Category: BURUDANI | Views: 338 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-02 | Comments (0)