Home » MICHEZO
1 2 3 ... 8 9 »

Rais wa zamani wa FIFA Joao Havelange amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 100.Mbrazil huyo alikuwa mtangulizi wa Sepp Blatter katika shirikisho la mpira wa miguu duniani kuanzia mwaka 1974 hadi 1998.

 
Category: MICHEZO | Views: 313 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-17 | Comments (0)



Klabu ya soka ya Arsenal ya nchini Uingereza imeanza vibaya msimu mpya wa ligi kuu kwa kupata kipigo cha mabao 4-3 mbele ya majogoo wa jiji la Liverpool katika mchezo ambao Arsenal walikuwa nyumbani. 
Category: MICHEZO | Views: 333 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-15 | Comments (0)



Mu Ethiopia, Almaz Ayana amefanikiwa kuweka rekodi ya dunia kwa upande wa wanawake katika mbio za mita elfu 10, baada ya kumaliza katika muda wa dakika 29 na sekunde 17, akivunja rekodi ya dunia ya awali iliyokuwa ya muda wa dakika 29 na sekunde 31.
Category: MICHEZO | Views: 317 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-15 | Comments (0)



Klabu ya soka ya Manchester united iko mbioni kuhakikisha inamtoa kwa mkopo mchezaji wake kinda Adnan Januzaj kwenda klabu ya Sunderland ambayo pia inashiriki ligi kuu nchini humo. 
Category: MICHEZO | Views: 338 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-10 | Comments (0)



labu ya soka ya Leicester city ambao ndiyo pia mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza wako mbioni kumsajili mchezaji toka klabu ya Santos Gabriel Barbosa ambye pia ni raia wa Brazil. 
Category: MICHEZO | Views: 394 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-10 | Comments (0)



labu ya Real Madrid ya nchini HHispania imefanikiwa kuifunga klabu ya Sevilla magoli 3-2 kwenye mchezo wa sper League katika muda wa nyongeza baada ya timu hizo kumaliza dakika 90 wakiwa 2-2.
Category: MICHEZO | Views: 372 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-10 | Comments (0)



Pogba anakuwa mchezaji mwingine ghali zaidi kuwahi kusajiliwa, baada ya usajili wa Chrostian Ronaldo, aliyesajiliwa kutoka klabu ya Manchester United kwenda Real Madrid ya Uhispania kwa dau la pauni milioni 85, huku Gareth Bale akisajiliwa kutoka Tottenham kwenda Real Madrid kwa dau la pauni milioni 94.
Category: MICHEZO | Views: 307 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-10 | Comments (0)

Klabu ya Soka ya Olympiakos imemfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Victor Sanchez baada ya klabu hiyo kubanduliwa katika michuano ya kufuzu ya makundi kwenye kklabu bingwa Ulaya ikiwa ni kipindi kisichozidi miezi miwili tangu achukue timu hiyo kama kocha. 
Category: MICHEZO | Views: 298 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-10 | Comments (0)



hambuliaji wa klabu ya soka ya Real Madrid Alvaro Morata ambaye amerejea klabuni hapo akitokea klabu ya Juventus ameonyesha nia ya kutala kuniunga na klabu ya Arsena ya Uingereza msimu huu. 
Category: MICHEZO | Views: 355 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)

 

Ujumbe alio utuma Sami Khedira baada ya Pogba kujiunga Man utd kutokea Juventus

A photo posted by mohamed nurdin (@nnurfire) on

Category: MICHEZO | Views: 306 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)