Home »
|






Klabu ya Soka ya Olympiakos imemfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Victor Sanchez baada ya klabu hiyo kubanduliwa katika michuano ya kufuzu ya makundi kwenye kklabu bingwa Ulaya ikiwa ni kipindi kisichozidi miezi miwili tangu achukue timu hiyo kama kocha.
