|
Kutokana na hatari ya maambukizi ya ukimwi kukua katika shughuli za kutahiri teknolojia sasa imechukua nafasi kwaajili ya kupndoa hatari hiyo. Inakadiriwa kuwakiwango cha maambukizi ya ukimwi kimekuwa kikiongezeka katka tukio hilo huku ikisemekana imekuwa ikifanyika bila kukidhi taratibu. Shirika moja nchini Kenya limegundua kifaa kinachoweza kufanya kazi hiyo bila kuhitaji upasuaji wala kushonwa kwa aina yoyote ile. Tazama kwenye video zaidi kuhusiana na kifaa hicho.
Category: VIDEOS |
Views: 394 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-07-08
|
|