Home » 2016 » June » 16


WASOMI wamesema kuwa Rais mstaafu, Jakaya Kikwete alistahili kupongezwa kwa kuanzisha mchakato wa kupata Katiba Mpya.

Wasomi hao wametoa maoni hayo baada ya mwanaharakati, Jenerali Ulimwengu kusema juzi kuwa Kikwete anapaswa kushtakiwa kama viongozi wengine walioisababishia hasara Serikali. Wasomi wametafsiri maoni hayo ya Ulimwengu kuwa hayakuwa ya kichambuzi, bali ya kiunaharakati.
Category: HABARI | Views: 292 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-16 | Comments (0)



SHAMBA la mikarafuu , minazi pamoja na mihogo la Waziri asiye na wizara maalumu Zanzibar Said Soud Said limevamiwa na kuhujumiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia june 14 mwaka huu .
Category: HABARI | Views: 270 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-16 | Comments (0)


MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JUNI 16 NA VICHWA VYA HABARI KUU HAYA HAPA.


MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JUNI 16 NA VICHWA VYA HABARI KUU HAYA HAPA.
 
Category: MAGAZETI | Views: 344 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-16 | Comments (0)



Taarifa rasmi ya CUF kwa wananchi kuhusu maombi ya Pr. Ibrahim Lipumba kuomba kurejea nafasi yake ya uenyekiti CUF. 
Category: HABARI | Views: 295 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-16 | Comments (0)



Rais John Magufuli amemteua Prof. Ignas Aloys Rubaratuka kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia Mwezi Aprili mwaka huu.
Taarifa hiyo ilitolewa na Dk. Leonard Chamuriho, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano jana  jijini Dar es Salaam.
“Kwa mujibu wa sheria Na. 17,,,,, 
Category: HABARI | Views: 261 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-16 | Comments (0)



IKIWA leo saa sita usiku Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kuzima simu feki za mkononi, mafundi wa simu nchini wanatakiwa kuanza mchakato wa kupata leseni ya kutengeneza simu kutoka mamlaka hiyo.
Category: HABARI | Views: 299 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-16 | Comments (0)