Home » 2016 » June » 20
Wabunge wanatarajiwa kukatwa asilimia 30 ya kiinua mgongo chao ambacho kimeelezwa kuwa ni Sh200 milioni.

Taarifa zilizopatikana kutoka kwenye Kamati ya Bajeti iliyopitia muswada huo, zimeeleza kuwa asilimia hiyo  inatokana na marekebisho yaliyofanywa na kupitishwa na wabunge wenyewe kwenye Sheria ya Mapato ya 2010.
Category: HABARI | Views: 280 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-20 | Comments (0)



Wakati Kamati ya Haki, Maadili na Madara ya Bunge imepokea mashtaka dhidi ya Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, mbunge mwingine wa upinzani ameamua kumshtaki kiongozi huyo kwenye Kamati ya Kanuni ya Bunge.
Category: HABARI | Views: 304 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-20 | Comments (0)