Home » 2016 » July » 02
Category: HABARI | Views: 348 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-02 | Comments (0)



Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Njombe, Charles Nakembetwa alimtaja mwanasheria huyo kuwa ni Frednand Nsakuzi na Julius Hasani ambaye ni mlinzi wa ofisi ya taasisi hiyo.
Category: HABARI | Views: 362 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-02 | Comments (0)



WAKATI Mahakama Maalumu ya Ufisadi na Uhujumu Uchumi ikitarajiwa kuanza wakati wowote, majengo ya mahakama hiyo yanatarajiwa kukabidhiwa keshokutwa.
Category: HABARI | Views: 375 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-02 | Comments (0)



Serikali ya nhini Kenya imetangaza kua siku ya Ed el Fitri, siku ambayo waumini wa kiislamu wanategemea kumaliza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa ni siku ya mapumziko kitaifa. Kwa mjjibu wa serikali ya Kenya siku iliyotangazwa ni tarehe 7 julai. 
Category: HABARI | Views: 268 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-02 | Comments (0)



WATU 11 wamekufa papo hapo na wengine 44 kujeruhiwa katika ajali mbili tofauti zilizotokea sehemu moja, zikihusisha basi la abiria, lililopamia malori mawili ya mizigo yaliyogongana uso kwa uso na kuungua moto eneo la Dakawa – Veta, wilayani Kilosa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Ulrich Matei alisema mjini hapa jana kuwa ajali ya kwanza, malori mawili ya mizigo yaligongana uso kwa uso juzi saa 12 jioni na kuwaka moto.
 
Category: HABARI | Views: 283 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-02 | Comments (0)



UJENZI wa Reli ya Kati kwa kiwango cha kisasa cha standard gauge, unatarajiwa kuanza kwa vipande vipande na wakandarasi tofauti; mmoja kutoka Dar es Salaam kwenda Kigali na mwingine kutoka Kigali kwenda Dar es Salaam, ili kuharakisha ukamilishaji wake.
Category: HABARI | Views: 328 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-02 | Comments (0)



Mchezaji wa kikapu nchini Marekani C Joakim Noah ah amejiunga na timu ya New York Knicks kwa kiasi cha £72m kwa mkataba wa miaka minne. 
Category: MICHEZO | Views: 273 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-02 | Comments (0)