Home » 2016 » July » 03

Kocha mpya wa klabu ya Manchester city pep Guardiola alivyowasili kwenye klabu yake hiyo mpya leo.
Category: USAJIRI | Views: 350 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)



Klabu ya soka ya Chelsea ya nchini Uingereza imekamilisha usajili wa mchezaji Mitchy Batchuayi ambaye ni raia wa Ubelgiji.Chelse imekamilisha usajili wa mchezaji huyo kwa kutoa kiasi cha Euro 33 milioni kutoka klabu ya Marseil ya nchini Ufaransa.Kwa uhamisho huo,Chelsea mchezaji huyo ameungana na wabelgiji wenzake Eden Hazard na kipa wa klabu hiyo Thibaut Courtois.

 
Category: USAJIRI | Views: 279 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)


Klabu ya nchini ya Ufaransa imeendelea kuboresha kikosi chake kwa msimu uja kwa kufanya usajili wa wachezaji mfululizo.Kwa mara nyingine leo wamekamilisha usajili wa mchezaji Thomas Meunier kutoka club brugge
Category: USAJIRI | Views: 300 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)



Ta\zama video hapo juu inayoonyesha taarifa zote muhimu kuhusu mchezaji mpya wa Arsenal Takuma Asano na uwezo wake uwanjani
Category: MICHEZO | Views: 321 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilindi Beatrice Shellukindo (CCM) ameaga dunia jana Jijini Arusha.
Akithibitisha kifo hicho Katibu wa CCM Wilaya ya Kilindi Mkoani Tanga, Hawa Nanganyau alisema marehemu  ameugua tangu  mwaka 2014 akisumbuliwa na tatizo la mgongo pamoja na miguu.
Category: HABARI | Views: 388 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)


Katika jitihada za kukihami kikosi chao kabla ya kutetea taji lao, Mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza Leicester City wamemsajili kiungo cha kati wa Ufaransa Nampalys Mendy.
Mchezaji huyo zamani akiichezea klabu ya Nice ametia sahihi mkataba wa miaka minne kufanya shughuli nchini Uingereza.
Category: USAJIRI | Views: 288 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)


Taarifa rasmi aliyoitoa Mikel Arteta kuhusu kujiunga na benchi la ufundi la klabu ya Manchester city chini ya kocha Pep Guardiola.
Category: MICHEZO | Views: 274 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)


Aliyekuwa mchezaji wa Arsenal na nahodha pia wa klabu hiyo Mikel Arteta ametangaza Rasmi kujiunga na kocha wa klabu ya Manchester city Pep Guardiola kwenye benchi lake la ufundi.
Category: MICHEZO | Views: 395 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)


Mchezaji wa klabu ya Manchester  united ya Uingereza Juan Mata yupo kwenye mazungumzo na klabu ya Everton kwaajili ya kujiunga na klabu hiyo kwa ada ya Euro 27m.Ikumbukwe kuwa kuna taarifa ya kutoeleweka kwa hatima ya mchezaji huyu klabuni Manchester united mara baada ya mchezaji mpya wa klabu hiyo Ibrahamovich kusema atavaa jezi namba 8 ambayo inatumika na Juan Mata.
 
Category: MICHEZO | Views: 312 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)



Baada ya kutangazwa kumsajili mchezaji toka japani Takuma Asano ambaye anacheza nafasi ya ushambuliaji hapa nimekuwekea video inayoonyesha uwezo wa mchezaji huyo kupachika magoli.
Category: MICHEZO | Views: 330 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)



Klabu ya soka ya PSG ya nchini Ufaransa imekamilisha usajili wa mchezaji  Grzegorz Krychowiak kutoka klabu ya Sevilla ya nchini Hispania kwa mkataba wa miaka mitano. (5)
Category: MICHEZO | Views: 308 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)


Zaidi ya watu 79 wamefariki katika mashambulizi mawili ya bomu yaliyokumba mji mkuu wa Iraq Baghdad.
Watu wengine 130 wamejeruhiwa vibaya katika mashambulizi hayo yaliyodaiwa kutekelezwa na kundi la wanamgambo wa kiislamu la Islamic State.

 

Category: HABARI | Views: 344 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)


Baada ya kukamilisha usajili wake na kujiunga na klabu ya Manchester united mshambuliaji hatari na mkongwe raia wa Sweden Ibrahamovich ametoa taarifa ya namba ambayo ataitumia akiwa klabuni hapo.
Ingawa bado haijasemwa au kutangazwa rasmi
Category: MICHEZO | Views: 280 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)



  Manchester united wameonyesha wamepania kumsajili kiungo hodari wa klabu ya Juventus Paul Pogba baada ya kuwaambia Juventus kuwa wako tayari kuvunja rekodi ya dunia kwa kutoa kiasi cha £100
Category: MICHEZO | Views: 310 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)



  Lionel Messi alitangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa ya soka ya Argentina baada ya timu hiyo kufungwa kwa penati katika mchezo aa fainali dhidi ya Chile.
Category: MICHEZO | Views: 274 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)



  Wenger akijibu taarifa za kwamba ni mmoja wapo kati ya makocha wanaotajwa kupewa nafasi ya kuifundisha timu ya taifa amesema hilo ni jambo jema kwake
Category: MICHEZO | Views: 341 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)

Msimu uliopita mchezaji Mario Balotelli alikuwa akiichezea klabu ya Ac Milan kwa mkopo akiwa ametokea klabu ya liverpool ambako alishindwa kung'aa kwenye msimu wake wa kwanza.
Category: MICHEZO | Views: 367 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)

Hal Robson Kane ambaye kwa sasa yuko huru alikua ni mchezaji wa klabu ya Reading ya Uingereza.
Category: MICHEZO | Views: 380 | Added by: nurdidy | Date: 2016-07-03 | Comments (0)