Home » 2016 » August » 09


hambuliaji wa klabu ya soka ya Real Madrid Alvaro Morata ambaye amerejea klabuni hapo akitokea klabu ya Juventus ameonyesha nia ya kutala kuniunga na klabu ya Arsena ya Uingereza msimu huu. 
Category: MICHEZO | Views: 355 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)

 

Ujumbe alio utuma Sami Khedira baada ya Pogba kujiunga Man utd kutokea Juventus

A photo posted by mohamed nurdin (@nnurfire) on

Category: MICHEZO | Views: 306 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)

Baada ya mtandao wa shirikisho la soka barani ulaya kuonyesha kikosi cha klabu ya Manchester city na ndani yake kumjumuisha beki wa klabu ya Everton Jon Stones, UEFA wamelizungumzia hili kwa kujibu kuwa jana usiku ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kwa vilabu kuwasilisha majina ya vikosi vyao na hivyo hicho ndiyo kikosi walichokipokea toka klabu ya Manchester city. 
Category: MICHEZO | Views: 251 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)



Huku mashabiki wengi wa soka duniani wakiendelea kusubiri hatma ya beki wa klabu ya Everton Jon Stones kuhusu kujiunga na klabu ya Manchester city inayomtafuta kwa udi na uvumba jambo jipya limezuka leo kuhusu mchezaji huyo. 
   
Category: MICHEZO | Views: 326 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)

Rais wa zamani wa Nigeria, Goodluck Jonathan amesema kuwa kuna matumaini ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini Zambia katika anga ya amani na amezitaka pande husika kuzingatia suala hilo.
Category: HABARI | Views: 312 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)

Makumi ya maafisa usalama wa Marekani kutoka chama cha Republican wamemkosoa vikali mgombea urais wa chama hicho katika uchaguzi ujao, Donald Trump, wakisema hafai kuwa Rais wa Marekani.
Category: HABARI | Views: 286 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)

Mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa yametahadharisha kuwa, mamilioni ya watu katika maeneo yenye vita na migogoro duniani wanasumbuliwa na njaa na ukosefu wa chakula kutokana na kutumiwa njaa kama silaha kwenye maeneo hayo.
Category: HABARI | Views: 266 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)



Lisa Duffy, mmoja wa wagombea wa uongozi wa chama cha Uhuru cha Uingereza UKIP ametaka vazi la stara la Kiislamu la Hijabu lipigwe marufuku katika maeneo ya hadhara nchini humo.
Category: HABARI | Views: 320 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)

Mfalme AkihitoImage copyright Nurfire
Mfalme wa Japan Akihito ameeleza mapenzi yake ya kutaka kung'atuka.
Akihutubia taifa hilo kupitia runinga, amesema ana wasiwasi kwamba umri na udhoofu wa afya yake huenda vikamfanya ashindwe kutekeleza majukumu yake.
Category: HABARI | Views: 258 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)



aziri wa maadili nchini Uganda amesema kuwa shughuli zote za wapenzi wa jinsia moja ni haramu na kinyume na tamaduni za watu wa Uganda.
Simon Lokodo aliuambia mkutano wa waandishi habari kuwa shughuli za wapenzi wa jinsia moja haziruhusiwi kamwe Uganda.
 
Category: HABARI | Views: 303 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)



Manchester united imekamilisha uhamisho wa aliyekua kiungo wa timu Juventus ya Italia Paul Pogba uhamisho ambao umevjnja rekodi ya dunia. Yafuatayo ni baadhi ya mambo muhimu ambayo huenda huyajui kuhusu mchezaji huyu 
Category: MICHEZO | Views: 467 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)



Waislamu nchini Nigeria wameendelea kufanya maandamano ya amani wakitaka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo aliyewekwa kizuizini na vikosi vya usalama vya nchi hiyo.
Category: HABARI | Views: 297 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)