Home » 2016 » August » 12


Maeneo matatu, eneo la mapumziko la Hua Hin, Phuket na Surat Thani, kusini mwa Thailand, yamekubwa na mfululizo mashambulizi ya mabomu usiku wa Alhamisi hadi Ijumaa hii asubuhi.
Category: HABARI | Views: 272 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-12 | Comments (0)



Wazambia walipiga kura Alhamisi hii Agosti 11 kwa kumchagua rais wao. Mpaka sasa hajajulikana mgombea anayeongoza kati ya wagombea tisa wanaowania kinyang'anyiro hiki cha urais.
Category: HABARI | Views: 279 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-12 | Comments (0)




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameviagiza vyombo vya dola kuchunguza na kuchukua hatua za kurejesha mali za Chama Kikuu cha Ushirika cha  Nyanza ambazo zilinunuliwa na kutwaliwa na watu binafsi kwa njia za ujanja ujanja.
 
Category: HABARI | Views: 291 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-12 | Comments (0)




Kocha wa timu ya riadha ya Kenya inayoshiriki michuano ya Olimpiki mjini Rio de Janeiro amerudishwa nyumbani kwa kosa la udanganyifu.

Mkuu wa Timu ya Olimpiki ya kenya, Kip Keino amesema John Anzrah aliigiza kama miongoni wa wakimbiaji wa mita 800, na kutoa sampuli ya mkojo kwa niaba ya mkimbiaji Ferguson Rotich.
Category: HABARI | Views: 289 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-12 | Comments (0)



Polisi nchini India wamewashtaki madaktari watano makosa yenye uhusiano na biashara ya pigo ya binadamu.Maafisa wa polisi wanasema madaktari hao walihuska katika kisa kimoja ambapo walihusika katika kutoa figo ya binadamu kinyume cha sheria katika Hospitali ya Hiranandani iliyopo magharibi mwa mji wa Mumbai.
Category: HABARI | Views: 319 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-12 | Comments (0)



MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetengua uamuzi wa kufutwa kwa shitaka la utakatishaji fedha linalomkabili aliyekuwa Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Harry Kitilya na wenzake na kuamuru kesi hiyo iendelee katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Category: HABARI | Views: 411 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-12 | Comments (0)



RAIS John Magufuli ameutaka uongozi wa Mkoa wa Mwanza, kuhakikisha kuwa watu waliopora mali za Chama cha Ushirika cha Nyanza (NCU), wanapatikana na kuzirudisha mali hizo mara moja, huku akiitaja Kampuni ya Simon Group yenye umiliki katika kampuni za UDA na mabasi ya haraka Dar es Salaam (UDA-RT).
Category: HABARI | Views: 295 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-12 | Comments (0)