Home » 2016 » August » 13



SERIKALI imesema wanafunzi walio wengi kutoka shule nyingi za vijijini hukosa mwamko wa kusoma masomo ya sayansi haswa kutokana na kukosa vifaa vyenye kuwawezesha kuyafanya masomo hayo kwa vitendo ndiyo maana imetenga fedha kununua katika mwaka huu wa fedha 2016/17.
Category: HABARI | Views: 269 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-13 | Comments (0)



ATUMISHI watano wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora wamefukuzwa kazi na wengine wawili wameshushwa vyeo kwa tuhuma za kutafuna Sh milioni 190.
Category: HABARI | Views: 262 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-13 | Comments (0)



Mawarire amesema kuwa maandamano dhidi ya serikali ya chama tawala cha ZANU-PF huko Harare, mji mkuu wa Zimbabwe, ya kulalamikia siasa mbovu na uchumi yatashadidi zaidi nchini. Amefafanua kuwa, kwa mshikamano wa 
Category: HABARI | Views: 258 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-13 | Comments (0)