Home » 2016 » August » 14


Duru kutoka kwenye Serikali ya Kinshasa, zinasema kuwa mazungumzo ya viongozi hao wawili, yamejikita katika kuimarisha usalama wa eneo la mashariki mwa DRC ambako makundi ya waasi wa kihutu kutoka Rwanda wa FDLR yameshutumiwa kuuzorotesha usalama wa eneo hilo.
Category: HABARI | Views: 283 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-14 | Comments (0)



Matokeo ya uchaguzi yanaendelea kutolewa nchini Zambia ambapo Rais Edgar Lungu anaongoza akifuatiwa na mpinzani wake wa karibu Hakainde Hichilema.
Category: HABARI | Views: 402 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-14 | Comments (0)