Home » 2016 » August » 22


Utafiti unaonyesha kuwa madaktari wa nchi za kusini mwa Afrika wanatoa dawa nyingi zaidi ya zilizoagizwa na Shirika la Afya Duniani WHO.
Category: HABARI | Views: 364 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-22 | Comments (0)



Milipuko miwili ya mabomu iliyotekelezwa na kundi la kigaidi la Alshabab imesababisha vifo vya watu 15 katika mji wa Galkayo.

Magari mawili yaliyoliwekwa mabomu hayo yaliegeshwa mbele ya makao makuu ya serikali ya mtaa.
Category: HABARI | Views: 339 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-22 | Comments (0)



ASKARI Polisi mwenye namba G.5092 PC John Nyange (28), aliyekuwa anafanya kazi katika Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Mwanza, ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali shingoni na mtu aliyekuwa na ugomvi naye.
Category: HABARI | Views: 300 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-22 | Comments (0)




MAWAZIRI wa wizara mbalimbali, wanapaswa kuhamia Dodoma, ndani ya wiki tatu baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (pichani) kuhamia.
Category: HABARI | Views: 259 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-22 | Comments (0)