Home » 2016 » August » 25


Mwanafunzi mmoja Simon Petrus nchini Namibia ambaye anasomea mambo ya electronics ameweza kugundua na kutengeneza simu ambayo haitumii sim card wala haihitaji muda wa maongezi. 
Category: HABARI | Views: 455 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



Polisi nchini Zimbabwe wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na maji ya kuwasha ili kupambana na vijana ambao walikuwa katika maandamano ya kumpinga raisi Robert Mugabe wa nchi hiyo. 
  Maandamano hayo yaliratibiwa na vyama 18 vya upinzani nchini humo vinavyopinga utawala wa Raisi aliyepo madarakani mheshimiwa Robert Mugabe. 
Category: HABARI | Views: 569 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linakusudia kuanzisha miradi mikubwa ya ujenzi Dodoma ikiwa ni kuunga mkono agizo la Rais John Magufuli la kuhamishia makao makuu ya nchi mkoani humo.
Category: HABARI | Views: 438 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



Huku timu za uokoaji zikiendelea na kazi ya kuwatafuta majeruhi na manusura wa tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.2 kwa kipimo cha rishta lililotokea katikati mwa Italia, hadi sasa imethibitishwa kuwa watu wasiopungua 247 wamepoteza maisha katika janga hilo la kimaumbile.
Category: HABARI | Views: 464 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



Polisi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo jana Jumatano ilionya kuwa itakabiliana na wale wote wanaotaka kudhuru mali za umma na za serikali.
Category: HABARI | Views: 442 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



 
Category: HABARI | Views: 340 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



Wanachuo Waislamu wa Chuo Kikuu cha jimbo la Wisconsin nchini Marekani wameanzisha kampeni ya kugawa chakula kwa watu wasio na makazi wa mji wa Madison ili kuwapa fursa ya kuujua Uislamu na kuuliza maswali kuhusiana na dini hiyo ya Mwenyezi Mungu.
Category: HABARI | Views: 347 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



Baadhi ya waandamanaji walijibu hujuma hizo za polisi kwa kuwarushia mitungi ya mabomu ya machozi na mawe polisi hao ambao waliwafukuza kwa mipira ya maji hadi nje ya ofisi kuu za chama cha MDC.
Category: HABARI | Views: 381 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



Mashambulio ya anga yaliyofanywa na kile kinachoitwa Muungano wa kupambana na Daesh unaoongozwa na Marekani yameua zaidi ya watu 6,000 nchini Syria tangu muungano huo ulipoanzisha operesheni zake hizo mwishoni mwa mwaka 2014.
Category: HABARI | Views: 339 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)




Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi ya Agosti 25
 
Category: HABARI | Views: 367 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



Leo(Jana)  nimewatembelea ndugu zangu wa Kilolo - Iringa kuwashukuru na kuwaeleza kuwa tulishinda na ndio maana hawa mabwana wakubwa wanapata tabu sana Na Sisi.
Category: HABARI | Views: 358 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



Jeshi la Polisi jana lilipiga hatua nyingine katika kukabiliana na kile linachoeleza kuwa ni kuchochea wananchi kufanya vurugu, baada ya kupiga marufuku mikutano ya ndani ya vyama vya siasa.
Category: HABARI | Views: 318 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)



Ilikuwa kama mtu anaangalia sinema.  Watu tisa waliokuwa kwenye pikipiki tatu walijitokeza ghafla katika Benki ya CRDB tawi la Mbande, wilayani Temeke jijini Dar es Salaam na kulimiminia risasi gari la polisi lililokuwa ndiyo kwanza linawasili katika eneo hilo kuleta askari kwa ajili ya lindo la usiku. Askari watatu walikufa palepale na mmoja alifia njiani wakati akipelekwa hospitali.
Category: HABARI | Views: 353 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-25 | Comments (0)