Home » 2016 » August » 26


WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Augustine Mahiga amesema Watanzania wengi wanashikiliwa katika magereza ya Afrika Kusini kwa makosa ya kujishughulisha na biashara ya dawa za kulevya.
Category: HABARI | Views: 844 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-26 | Comments (0)



WASANII mbalimbali wanaopenda amani wameungana kwa pamoja kupinga maandamano ya UKUTA yanayotarajiwa kufanyika Septemba Mosi, mwaka huu
Category: HABARI | Views: 802 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-26 | Comments (0)

Category: MAGAZETI | Views: 822 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-26 | Comments (0)

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameliagiza Jeshi la Polisi kuwagonga na kuwapiga wahalifu wowote wakiwamo majambazi pindi wanapowakamata.

 

Category: HABARI | Views: 519 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-26 | Comments (0)