Home » 2016 » September » 16


 
 
​WABUNGE wote wa Chama cha Wananchi (CUF) wametangaza rasmi kutomtambua aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba.
 
Wamemtaka Msajili wa Vyama vya SiWabunge wote CUF wamkataa Lipumbaasa nchini, Jaji Francis Mutungi kutomkumbatia mwanasiasa huyo aliyebobea katika uchumi, ikielezwa kwa sasa hana sifa za kuwa mwenyekiti wa chama hicho, labda aanze upya mchakato.Wabunge wote CUF wamkataa Lipumba
Category: HABARI | Views: 842 | Added by: nurdidy | Date: 2016-09-16 | Comments (0)