Home »
|


Mchezaji, mshambuliaji wa klabu ya soka ya Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi amethibitisha kwamba ni moto wa kuotea mbali baada ya kuweza kufunga magoli 3 katika mechi ambayo aliingia kipindi cha pili na kuisaidia timu yake ya taifa kushinda magoli 5-0 dhidi ya taifa la panama.