Home » 2016 » August » 04


Klabu ya soka ya Real Madtid ya nchini Hispania imefikia makubaliano ya kumwongeza mkataba mchezaji wake mahiri na ambaye pia ni nahodha wa timu ya kananda ya taifa la Ureno Christian Ronaldo. 
Category: MICHEZO | Views: 353 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)




Mchezaji mpya wa klabu ya Chelsea N'golo Kante amepinga wanaomwita au kumfananisha mchezaji huyo na gwiji wa zamani wa soka wa timu ya taifa ya Ufaransa na klabu za Real Madrid na Chelsea Claude Makelele. 
Category: MICHEZO | Views: 403 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)


Kocha wa Arsenal Arsene Wenger yupo kwenye harakati za kuhakikisha anampata mshambuliaji bora wa katikati ili kuweza kujiimarisha zaidi kiushindani katika ligi kuu ya Uingereza itakayoanza mwezi huu. 
Katika jitihada zake hizo kocha huyo anategemea kumtumia mchezaji wake tegemeo ambaye pia ni raia wa Chile Alexis Sanchez katika nafasi hiyo ya mshambuliaji wa kati. 
 
Category: MICHEZO | Views: 309 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)



Mashabiki wa soka nchini wamepata ahueni ya kutazama Ligi Kuu ya England kupitia kituo cha runinga cha TV1.

Meneja Mkuu wa TV1, Joseph Sayi amesema kituo chao kimepata ruhusa kutoka kampuni ya Econet Media yenye haki za kuonyesha ligi hiyo kusini mwa Jangwa la Sahara.
Category: HABARI | Views: 325 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)


Beki wa zamani wa klabu ya Arsenal Lauren amesema haoni umuhimu wa klabu hiyo kumsajili mchezaji Riyadh Mahrez
Category: MICHEZO | Views: 282 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)



BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limetoa notisi ya kuvishushia hadhi vyuo 175, kufuta rasmi vyuo vitano na 41 vimepewa muda wa wiki mbili viwe vimejisajili upya. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Baraza hilo, Steven Mlote alisema vyuo hivyo vitano vimefungiwa kuendesha mafunzo na kufutwa kwenye rejista ya vyuo vya ufundi nchini.
Category: HABARI | Views: 330 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)



MLINZI wa Shule ya Msingi Medeli iliyopo katika Manispaa ya Dodoma, Zebedayo Bendera, amewafungia ofisini baadhi ya walimu wa shule hiyo baada ya kushindwa kumlipa mshahara wake.

Wakati Bendera anafunga ofisi hiyo jana asubuhi, ofisini walikuwamo walimu kadhaa pamoja na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Rehema William.
Category: HABARI | Views: 279 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)



MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida, baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wa hadhara jimboni kwake.
Category: HABARI | Views: 298 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)



BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limevifutia usajili vyuo vitano kuendesha mafunzo, huku vingine 41 vikigundulika kuendesha mafunzo bila kusajiliwa.

Tamko hilo lilitolewa Dar es Salaam jana na   Mwenyekiti wa NACTE,   Steven Mlote, alipozungumza na waandishi wa habari.
Category: HABARI | Views: 391 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)



Bila kuwataja kwa majina wala siri walizotoa, Jaji Kaganda alisema: “Tusiweke maslahi binafsi mbele kwa kutoa siri za mikataba kwa kuangalia manufaa binafsi, jambo ambalo limelifikisha taifa pabaya. Viongozi wastaafu wafunge midomo yao kwani bado wako ndani ya kiapo hata kama wamestaafu.”
Category: HABARI | Views: 303 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)



Baada ya kupata kibali cha polisi, Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amefanya mkutano wa hadhara akisema hakuna wa kumpangia cha kuzungumza kwenye mikutano yake.
Category: HABARI | Views: 322 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)


Wakazi wa Tanga wamelisaidia Jeshi la Polisi kuwakimbiza na kuwaua majambazi wawili kati ya wanne waliokuwa wakitumia gari aina ya Toyota Probox  baada ya kukurupushwa katika jaribio la kuiba vitu katika magari yaliyoegeshwa ofisi za halmashauri.
Category: HABARI | Views: 284 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)

Mkurugenzi mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Emalieza Chilemeji hajaripoti kwenye kituo chake cha kazi.

Chilemeji ni miongoni mwa wakurugenzi 120 wapya walioteuliwa na Rais John Magufuli Julai 7.
Category: HABARI | Views: 319 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-04 | Comments (0)