Home » 2016 July 08 » LA imemsajili Luol Deng kwa thamani ya $72m
10:06 AM LA imemsajili Luol Deng kwa thamani ya $72m |
Follow @NNurfire ![]() Luol Deng amejiunga na timu ya mpira wa kikapu ya Marekani Los Angeles Lakers kwa thamani ya $72 milioni. Mchezaji huyo ambaye ni mzaliwa wa Sudani pia amewahi kuiwakilisha Uingereza katika michuano ya Olympics iliyofanyika jijini London mwaka 2012. |
|
|
| Total comments: 0 | |
