Home »
|
Baada ya mtandao wa shirikisho la soka barani ulaya kuonyesha kikosi cha klabu ya Manchester city na ndani yake kumjumuisha beki wa klabu ya Everton Jon Stones, UEFA wamelizungumzia hili kwa kujibu kuwa jana usiku ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kwa vilabu kuwasilisha majina ya vikosi vyao na hivyo hicho ndiyo kikosi walichokipokea toka klabu ya Manchester city.








