
Rais wa zamani wa FIFA Joao Havelange amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 100.Mbrazil huyo alikuwa mtangulizi wa Sepp Blatter katika shirikisho la mpira wa miguu duniani kuanzia mwaka 1974 hadi 1998.
Category: MICHEZO |
Views: 313 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
Kampuni ya Google imezindua programu yake mpya kwa jina DUO.
Programu hiyo ni jibu la Google kwa programu nyengine kama ile ya Apple ya Face Time,Skype ya Microsoft na Facebook messanger.
Category: HABARI |
Views: 345 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
Mgombea urais wa Marekani kupitia Chama cha Republican Donald Trump ambaye yupo katika mji Milwaukee amesema ushahidi wa awali unaonyesha kuwa ilikuwa ni halali kijana mweusi aliyeuawa na polisi katika mji huo siku ya jumamosi.
Category: HABARI |
Views: 319 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
Walinda amani tisa wa Muungano wa Afrika wamefungwa jela kwa kushiriki katika bishara ya uuzaji mafuta nchini Somalia.
Category: HABARI |
Views: 299 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
Ndege za kivita za Urusi zimeanza kwa mara kwanza kutumia ngome yake ya ndege za kijeshi iliyopo Iran kuwashambulia waasi nchini Syria.
Hii ni mara ya kwanza Urusi inatekeleza harakati zake za kijeshi kupitia Iran tangu vita kuu ya pili ya dunia.
Category: HABARI |
Views: 362 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
Viongozi wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wameanza kukabana koo kuhusiana na mali za jumuiya hiyo.
Category: HABARI |
Views: 319 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Zelothe Steven ameunda Kamati ya wataalamu wa mkoa na kuiagiza kupita kwenye vyuo vya elimu ya juu ili kuhakiki ‘wanafunzi hewa’ ambao ni watumishi wa serikali kutoka mkoani humo, wanaodaiwa kuwa na ruhusa kusoma kwenye vyuo hivyo.
Category: HABARI |
Views: 326 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
WAKATI serikali ikianza taratibu za kuhamia Dodoma, Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) imemuomba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa kushirikiana na msimamizi wa mali za serikali kufanya uchunguzi kuona namna Sh bilioni 12.5 zilivyotumika kwenye ujenzi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo ambayo bado inaendelea kujengwa.
Category: HABARI |
Views: 289 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
WAKAZI wa Mtaa wa Mwembeni, kata ya Manzese jijini Dar es Salaam wamelazimika kuzikusanya taka na kuzipeleka kwenye Ofisi ya Mwenyekiti wa mtaa huo kwa madai ya gari la taka kutopita kuzoa taka hizo kwa kipindi cha miezi mitatu.
Category: HABARI |
Views: 331 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
HAKIMU Mkazi Mkuu, Respicius Mwijage, ameutaka upande wa Jamhuri, kuchunguza hati ya kifo cha Raia wa Angola, Jose Nimi aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kukusanya matokeo na kuyachapisha kupitia mitandao ya kijamii bila ya kuihusisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Category: HABARI |
Views: 316 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Stephen Kebwe, amewatahadharisha vijana wakiwemo wafanyabiashara wadogo kutokubali kushawishiwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa ili washiriki maandamano yaliyopangwa kufanyika Septemba Mosi, mwaka huu.
Category: HABARI |
Views: 323 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema itawachukulia hatua za kisheria watakaoshindwa kufanya uhakiki wa taarifa za usajili wa Namba ya Mlipa Kodi (TIN) ikiwa ni pamoja na kuzifuta namba hizo.
Category: HABARI |
Views: 320 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-08-17
|
|
|