Home » HABARI
« 1 2 ... 22 23 24 25 26 ... 32 33 »


Walipakodi wote wanakumbushwa kuzingatia mwisho wa kulipa kodi ya Mapato na Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) PASIPO ADHABU
1.O    ULIPAJI WA KODI YA MAPATO – MAKADIRIO YA AWALI
⦁    walipakodi wote ambao hesabu zao za mizania zinaishia tarehe 30/06/2016, wanapaswa kulipa sehemu ya nne ya makadirio ya awali ya mwaka 2016
⦁    walipakodi wote ambao hesabu zao za mizania zinaishia tarehe 30/09/2016, wanapaswa kulipa sehemu ya tatu ya makadirio ya awali ya mwaka 2016
⦁    walipakodi wote ambao hesabu zao za mizania zinaishia tarehe 30/12/2016, wanapaswa kulipa sehemu ya pili
⦁    walipakodi wote ambao hesabu zao za mizania zinaishia tarehe 31/03/2017, wanapaswa kulipa sehemu ya kwanza ya makadirio ya awali ya mwaka 2017
 
Category: HABARI | Views: 297 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-11 | Comments (0)

Hii ni orodha ya nchi ambazo raia wa mataifa ya ulaya wanaamini ndizo zenye maisha bora zaidi. Orodha hii inaonyesha kila raia wa taifa fulani na nchi wanayoamini ni bora. Katika orodha hii Ugiriki ndiyo taifa ambalo linaaminiwa kuwa na maisha ovyo kabisa kwa ulaya. 
Category: HABARI | Views: 294 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-11 | Comments (0)


Tamisemi Yakanusha Taarifa Kwenye Mitandao Ya Jamii Juu Ya Kusitisha Ajira Za Walimu Wapya 2015/2016
Category: HABARI | Views: 335 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-11 | Comments (0)


Kijana mmoja nchini  Marekani aitwae Stan Larkin ameweza kuishi siku 555 bila kuwa na moyo kufuatia moyo wake kuondolewa kabisa kutoka kwenye mwili wake. Baada ya kuondolewa moyo kifaa maalum aliwekewa na wataalamu cha kumsaidia kufanya kazi huku akisubiri huduma ya kubadilishiwa moyo(transplanting) 
Category: HABARI | Views: 300 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-11 | Comments (0)

Mwanamke mmoja nchini Afrika kusini amelazimika kwenda mahakamani kuomba talaka kufuatia mumewe kuwa ana maumbile makubwa (uume).Hyo yametokea ikiwa ni siku tatu tu tangu wawili hao wafunge ndoa.Siku ya juma tatu mwanamke huyo aliimbia mahakama kuwa anataka atengane na mumewe huyo kwani hawezi kuendelea kuvumilia maumbile makubwa ya mwanaume huyo.Mwanaume hakuweza kukana mashtaka hayo lakini akaomba arudishiwe gharama zake.Chanzo .iol.co.za

Category: HABARI | Views: 278 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-10 | Comments (0)



Nyembo awali alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato kabla ya kuhamishiwa Uvinza mkoani Kigoma baadaye Kaliua.

Chato. Mkuu wa Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Khadija Nyembo, aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Chato, Hamida Kwikwengwa na Mwanasheria wa halmashauri hiyo, Robert Matungwa wameibwaga Serikali baada ya kuwafungulia kesi ya uhujumu uchumi.
Category: HABARI | Views: 282 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-10 | Comments (0)



Viongozi wa Chadema, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Taifa, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dk Vincent Mashinji jana walijifungia kutwa nzima  Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza kujadili hatua za kuchukua dhidi ya kitendo cha  Polisi kuzuia maandamano na mikutano ya chama hicho.
Category: HABARI | Views: 321 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-10 | Comments (0)



Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza kumuunga mkono Hillary Clinton kuwa mgombea urais wa chama cha Democratic katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu nchini Marekani.
Category: HABARI | Views: 331 | Added by: nurdidy | Date: 2016-06-09 | Comments (0)