Home »
|

Hii ni orodha ya nchi ambazo raia wa mataifa ya ulaya wanaamini ndizo zenye maisha bora zaidi. Orodha hii inaonyesha kila raia wa taifa fulani na nchi wanayoamini ni bora. Katika orodha hii Ugiriki ndiyo taifa ambalo linaaminiwa kuwa na maisha ovyo kabisa kwa ulaya.




