Home » HABARI
« 1 2 3 4 5 6 ... 32 33 »


Utafiti unaonyesha kuwa madaktari wa nchi za kusini mwa Afrika wanatoa dawa nyingi zaidi ya zilizoagizwa na Shirika la Afya Duniani WHO.
Category: HABARI | Views: 364 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-22 | Comments (0)



Milipuko miwili ya mabomu iliyotekelezwa na kundi la kigaidi la Alshabab imesababisha vifo vya watu 15 katika mji wa Galkayo.

Magari mawili yaliyoliwekwa mabomu hayo yaliegeshwa mbele ya makao makuu ya serikali ya mtaa.
Category: HABARI | Views: 339 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-22 | Comments (0)



ASKARI Polisi mwenye namba G.5092 PC John Nyange (28), aliyekuwa anafanya kazi katika Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Mwanza, ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali shingoni na mtu aliyekuwa na ugomvi naye.
Category: HABARI | Views: 300 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-22 | Comments (0)




MAWAZIRI wa wizara mbalimbali, wanapaswa kuhamia Dodoma, ndani ya wiki tatu baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (pichani) kuhamia.
Category: HABARI | Views: 259 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-22 | Comments (0)



Kampuni ya Google imezindua programu yake mpya kwa jina DUO.

Programu hiyo ni jibu la Google kwa programu nyengine kama ile ya Apple ya Face Time,Skype ya Microsoft na Facebook messanger.
Category: HABARI | Views: 344 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-17 | Comments (0)



Mgombea urais wa Marekani kupitia Chama cha Republican Donald Trump ambaye yupo katika mji Milwaukee amesema ushahidi wa awali unaonyesha kuwa ilikuwa ni halali kijana mweusi aliyeuawa na polisi katika mji huo siku ya jumamosi.
Category: HABARI | Views: 319 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-17 | Comments (0)



Walinda amani tisa wa Muungano wa Afrika wamefungwa jela kwa kushiriki katika bishara ya uuzaji mafuta nchini Somalia.
Category: HABARI | Views: 299 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-17 | Comments (0)



Ndege za kivita za Urusi zimeanza kwa mara kwanza kutumia ngome yake ya ndege za kijeshi iliyopo Iran kuwashambulia waasi nchini Syria.
Hii ni mara ya kwanza Urusi inatekeleza harakati zake za kijeshi kupitia Iran tangu vita kuu ya pili ya dunia.
Category: HABARI | Views: 362 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-17 | Comments (0)



Viongozi wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wameanza kukabana koo kuhusiana na mali za jumuiya hiyo.
Category: HABARI | Views: 318 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-17 | Comments (0)



MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Zelothe Steven ameunda Kamati ya wataalamu wa mkoa na kuiagiza kupita kwenye vyuo vya elimu ya juu ili kuhakiki ‘wanafunzi hewa’ ambao ni watumishi wa serikali kutoka mkoani humo, wanaodaiwa kuwa na ruhusa kusoma kwenye vyuo hivyo.
Category: HABARI | Views: 326 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-17 | Comments (0)