Home » HABARI
« 1 2 ... 8 9 10 11 12 ... 32 33 »


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba ameuagiza uongozi wa Jeshi la Magereza mkoani Iringa kuanza mchakato wa kulhamisha gereza kuu la mkoa huo kutoka katikati ya mji na kwenda pembezoni mwa mji.
Category: HABARI | Views: 280 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-07 | Comments (0)

Chadema imetangaza kufanya mikutano nchi nzima kuanzia Septemba Mosi katika operesheni iliyobatizwa jina la Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania (Ukuta), ikidai Serikali ya Awamu ya Tano inakandamiza haki na demokrasia nchini.
Category: HABARI | Views: 324 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-07 | Comments (0)

 
 
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yussuf Masauni amesema askari wa usalama barabarani watakaobainika kupokea rushwa watashughulikiwa kwa kuwa wataweka mitego kwa ajili ya kuwakamata.
Category: HABARI | Views: 267 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-07 | Comments (0)

 
 
MWANAFUNZI aliyekuwa akisoma Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Zimba, Bonde la Ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga, Susana Kauzeni (15) ameuawa baada ya kupigwa na wazazi wake wakimtuhumu kuwa ni mtoro sugu wa shule.
Category: HABARI | Views: 287 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-07 | Comments (0)

 
 
SERIKALI imetangaza mwongozo mpya kuwa kuanzia sasa masomo ya sayansi ni lazima kusomwa na wanafunzi wote wanaosoma elimu ya sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne. Kwa mujibu wa Sera ya Elimu iliyopo, wanafunzi wanaosoma elimu ya sekondari wanaweza kuchagua aina ya masomo watakayo wafikapo kidato cha tatu na kuacha mengine.
Category: HABARI | Views: 291 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-07 | Comments (0)


Watu wanne wameuawa na wengine saba kujeruhiwa katika hujuma inayoaminika kuwa ya ulipizaji kisasi katika Peninsula ya Sinai nchini Misri.
Vyombo vya habari nchini humo vimeripoti kuwa, shambulizi hilo la kigaidi limefanyika usiku wa kuamkia leo katika mji wa el-Arish, makao makuu ya mkoa wa Sinai Kaskazini.
 
Category: HABARI | Views: 346 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-06 | Comments (0)



Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ameshtakiwa kwa makosa matatu la kwanza kutoaa maneno ya uchochezi kwamba Agosti 2 katika Mahakama ya Kisutu kwa nia ya kujenga chuki kwa wananchi dhidi ya Rais na Serikali alitoa maneno ya uchochezi.
Category: HABARI | Views: 267 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-06 | Comments (0)


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewapa rungu askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mkoani hapa kuwadhibiti watakaothubutu kufanya maandamano ya kuunga mkono operesheni ya Chadema iliyopewa jina la Umoja wa Kupambana na Udikteta Tanzania (Ukuta).
Category: HABARI | Views: 375 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-06 | Comments (0)



Rais wa Zambia, Edgar Lungu amesema yuko tayari kutumia mbinu zozote kuhakikisha kwamba nchi hiyo ina amani baada ya uchaguzi uliopngwa kufanyika wiki ijayo wa rais, bunge , na serikali za mitaa pamoja na kura ya maoni. Lungu amesema kuwa ana ripoti za kijasusi kuwa wanachama wa chama kikuu cha upinzani , UPND, wanapanga kuzua vurugu iwapo chama chao hakitashinda katika uchaguzi huo.
Category: HABARI | Views: 281 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-05 | Comments (0)




​Polisi wa London wanasema mapema Alhamisi hawajapata ushahidi wowote wa kuashiria msimamo mkali unaoashiria ugaidi kwa kijana wa Kisomali.
Category: HABARI | Views: 271 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-05 | Comments (0)