Home » HABARI
« 1 2 ... 7 8 9 10 11 ... 32 33 »
Mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa yametahadharisha kuwa, mamilioni ya watu katika maeneo yenye vita na migogoro duniani wanasumbuliwa na njaa na ukosefu wa chakula kutokana na kutumiwa njaa kama silaha kwenye maeneo hayo.
Category: HABARI | Views: 266 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)



Lisa Duffy, mmoja wa wagombea wa uongozi wa chama cha Uhuru cha Uingereza UKIP ametaka vazi la stara la Kiislamu la Hijabu lipigwe marufuku katika maeneo ya hadhara nchini humo.
Category: HABARI | Views: 320 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)

Mfalme AkihitoImage copyright Nurfire
Mfalme wa Japan Akihito ameeleza mapenzi yake ya kutaka kung'atuka.
Akihutubia taifa hilo kupitia runinga, amesema ana wasiwasi kwamba umri na udhoofu wa afya yake huenda vikamfanya ashindwe kutekeleza majukumu yake.
Category: HABARI | Views: 258 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)



aziri wa maadili nchini Uganda amesema kuwa shughuli zote za wapenzi wa jinsia moja ni haramu na kinyume na tamaduni za watu wa Uganda.
Simon Lokodo aliuambia mkutano wa waandishi habari kuwa shughuli za wapenzi wa jinsia moja haziruhusiwi kamwe Uganda.
 
Category: HABARI | Views: 303 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)



Waislamu nchini Nigeria wameendelea kufanya maandamano ya amani wakitaka kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo aliyewekwa kizuizini na vikosi vya usalama vya nchi hiyo.
Category: HABARI | Views: 297 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-09 | Comments (0)

Makumi ya Wamarekani wameandamana katika mji wa Chicago nchini Marekani wakipinga ubaguzi wa rangi na vitendo vya utumiaji mabavu na mauaji yanayofanywa na polisi wa nchi hiyo dhidi ya Wamarekani weusi.
Waandamanaji hao wakiwa wamebeba mabango na maberamu wamepiga nara za kulaani mauaji ya polisi ya hivi karibuni nchini humo dhidi ya kijana mmoja mdogo mwenye asili ya Afrika. 
Category: HABARI | Views: 439 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-07 | Comments (0)

Ripoti ya siri iliyotolewa hivi karibuni kuhusiana na shambulio a kigaidi ya Septemba 11 nchini Marekani mwaka 2001 inaonesha kuwa, Bandar bin Sultan Mkuu wa zamani wa Shirika la Kijasusi na Saudia na balozi wa wakati huo wa Saudia mjini Washington alikuwa na uhusiano na mmoja wa wafuasi wa kundi la kigaidi la al-Qaeda aliyetekeleza shambulio hilo la kigaidi
Category: HABARI | Views: 331 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-07 | Comments (0)


Wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2015 tulieleza malengo yetu kwa wananchi. Tunawakumbusha malengo hayo. Tutakuwa tunatoa mrejesho wa utekelezaji kila wakati. Siku ya Jumanne tarehe 9/8/2016 tutatoa mrejesho wa kwanza.
Category: HABARI | Views: 285 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-07 | Comments (0)

Duru za kuaminika zimeripoti kuwa watu saba wameuawa nchini Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali.
Kwa mujibu wa duru hizo watu wasiopungua saba wameuawa katika makabiliano yaliyotokea kati ya askari polisi na waandamanaji katika mji wa Nemekte Wollega magharibi mwa nchi hiyo. Duru hizo zimeongeza kuwa kwa miezi kadhaa sasa watu wa makabila mawili ya Oromo na Amhara wamekuwa wakimiminika mabarabarani kuandamana wakilalamikia siasa za serikali ya Addis Ababa.
Category: HABARI | Views: 308 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-07 | Comments (0)



Katika uchaguzi wa serikali za mitaa wa Afrika Kusini, chama tawala cha ANC, kimeshindwa na Democratic Alliance, katika eneo lenye mji mkuu,Pretoria.
Category: HABARI | Views: 296 | Added by: nurdidy | Date: 2016-08-07 | Comments (0)