Home »
|
Mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa yametahadharisha kuwa, mamilioni ya watu katika maeneo yenye vita na migogoro duniani wanasumbuliwa na njaa na ukosefu wa chakula kutokana na kutumiwa njaa kama silaha kwenye maeneo hayo.

Image copyright Nurfire

Makumi ya Wamarekani wameandamana katika mji wa Chicago nchini Marekani wakipinga ubaguzi wa rangi na vitendo vya utumiaji mabavu na mauaji yanayofanywa na polisi wa nchi hiyo dhidi ya Wamarekani weusi.
Ripoti ya siri iliyotolewa hivi karibuni kuhusiana na shambulio a kigaidi ya Septemba 11 nchini Marekani mwaka 2001 inaonesha kuwa, Bandar bin Sultan Mkuu wa zamani wa Shirika la Kijasusi na Saudia na balozi wa wakati huo wa Saudia mjini Washington alikuwa na uhusiano na mmoja wa wafuasi wa kundi la kigaidi la al-Qaeda aliyetekeleza shambulio hilo la kigaidi

Duru za kuaminika zimeripoti kuwa watu saba wameuawa nchini Ethiopia katika maandamano ya kupinga serikali.