Hamis amemweleza Jaji mkuu kuwa yupo hatarini kupoteza haki yake ya urithi aliyoipigania tangu 2006 baada ya baba yake, Mohamed Hamis kufariki dunia.
Dar er Salaam. Kijana Abdullatif Hamisi (23), amemwandikia barua Jaji Mkuu akilalamikia hatua ya Mahakama Kuu kutoa hukumu mbili tofauti na kumnyima haki ya kupata mgawo wa urithi wa mali ya baba yake.
Category: HABARI |
Views: 321 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-06-18
|
|
Bila ya shaka mmepata habari kupitia mitandao ya kijamii na vyombo vya habari kuwa siku ya Jumapili ya tarehe 11/06/2016 akiwa kanisani kwake, Mchungaji Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima alitoa kauli za uongo, uchochezi na uchonganishi dhidi ya Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt John Pombe Magufuli, Viongozi wa CCM, Watendaji wa CCM na Serikali ya Awamu ya nne.
Category: HABARI |
Views: 302 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-06-17
|
|

Taarifa zilizotufikia muda huu zinasema Polisi 6 wakiwa ndani ya Landcruiser wamezingira nyumbani kwa Askofu Josephat Gwajima.
Sababu za kufanya hivyo bado hazijafahamika, tutaendelea kuwajuza kadri tunavyoendelea kupata taarifa.
Category: HABARI |
Views: 296 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-06-17
|
|
WASOMI wamesema kuwa Rais mstaafu, Jakaya Kikwete alistahili kupongezwa kwa kuanzisha mchakato wa kupata Katiba Mpya.
Wasomi hao wametoa maoni hayo baada ya mwanaharakati, Jenerali Ulimwengu kusema juzi kuwa Kikwete anapaswa kushtakiwa kama viongozi wengine walioisababishia hasara Serikali. Wasomi wametafsiri maoni hayo ya Ulimwengu kuwa hayakuwa ya kichambuzi, bali ya kiunaharakati.
Category: HABARI |
Views: 292 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-06-16
|
|
SHAMBA la mikarafuu , minazi pamoja na mihogo la Waziri asiye na wizara maalumu Zanzibar Said Soud Said limevamiwa na kuhujumiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia june 14 mwaka huu .
Category: HABARI |
Views: 270 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-06-16
|
|
Taarifa rasmi ya CUF kwa wananchi kuhusu maombi ya Pr. Ibrahim Lipumba kuomba kurejea nafasi yake ya uenyekiti CUF.
Category: HABARI |
Views: 295 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-06-16
|
|
Rais John Magufuli amemteua Prof. Ignas Aloys Rubaratuka kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia Mwezi Aprili mwaka huu.
Taarifa hiyo ilitolewa na Dk. Leonard Chamuriho, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano jana jijini Dar es Salaam.
“Kwa mujibu wa sheria Na. 17,,,,,
Category: HABARI |
Views: 261 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-06-16
|
|
IKIWA leo saa sita usiku Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kuzima simu feki za mkononi, mafundi wa simu nchini wanatakiwa kuanza mchakato wa kupata leseni ya kutengeneza simu kutoka mamlaka hiyo.
Category: HABARI |
Views: 299 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-06-16
|
|
Aidha amesema bodi ya mikopo nchini imetumia makampuni ya udalali kukusanya madeni kwa wanafunzi kwa makubaliano ya malipo ya Asilimia 2.5 ya deni la mdaiwa, ambayo makampuni mengine hayajasajiliwa na mengine yamesajiliwa kuuza vifaa vya ujenzi wakati wadaiwa wanawadhamini na kusababisha watu kubambikiwa madeni ili madalali wapate kamisheni kubwa.
Category: HABARI |
Views: 298 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-06-15
|
|
 Rais wa Marekani, Barack Obama, ameshtumu vikali matamshi ya mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump, kwamba waislamu wasiruhusiwe kuingia Marekani. Obama amesema hiyo 'si marekani wanayohitaji.'
Category: HABARI |
Views: 286 |
Added by: nurdidy |
Date: 2016-06-15
|
|
|